Viongozi wa CHADEMA wakiongoza maandamano kuelekea Temeke wakitokea Ubungo jijini Dar es salaam
Mhe. Tundu Lissu akiongea na wanaChadema Temeke Leo Jumapili Feb 10, 2013 baada ya kuwapokea wabunge wao Ubungo na kufanya nao maandamano hadi Temeke na Wabunge wa chama hicho kuwajuza yaliyojilri Bungeni Dodoma wakiwatuhumu Spika na Naibu wake kukipendelea chama tawala
Mbung wa Ubungo Mhe.  John Mnyika naye akihutubia Wafuasi wa CHADEMA, Temeke leo Jumampili Feb 10, 2013 baada ya wanachama hao kuwapokea Wabunge wao tokea Ubungo na kufanya nao maandamano hadi Temeke.  Kwa mapicha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...