Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Kanda ya Ilala,Evans Musiba (watatu kushoto} akimkabidhi Mganga Mkuu wa Hospital ya Amana kitanda cha kupasulia wagonjwa wanaoshuhudia ni Mbunge wa Ilala Mhe.Mussa Zungu Azzan na kushoto ni Afisa Mwandamizi Mr. Mordgard Lumbanga.
Wafanyakazi wa PPF wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mhe.Mussa Zungu Azzan Mbunge wa Ilala mara baada ya kukabidhi kitanda cha kupasulia wagonjwa kutoka kushoto ni Meneja Uhusiano Bi.Lulu Mengele, Meneja wa Kanda ya Ilala Bw.Evans Musiba na wa pili kulia ni Afisa Mwandamizi Bw. Mordgard Lumbanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...