Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais Mwai Kibaki wa Kenya muda mfupi
baaada ya kuwasili katika uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere kwa
ziara ya kiserikali (State Visit) ya siku mbili.
Rais
Mwai kibaki wa Kenya akikaribishwa kwa maua na Mwanafunzi Tazmina Rasul(6) muda mfupi baada ya
kuwasili nchini kwa ziara ya kiserikali (State Visit) ya siku mbili huku
mwenyeji wake Rais Dkt.Jakaya Kikwete akiangalia. (Picha na Freddy Maro).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...