Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Mh. Joshua Nassari akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo maalum ya uendeshaji wa pikipiki kwa mmoja wa Waendesha pikipiki maarufu kama Bodaboda, muda mfupi baada ya kumalizika kwa mafunzo hayo yaliyoongozwa na Mh. Nassari kwa kushirikiana na Makamanda wa Polisi Mkoani Arusha.Mafunzo hayo yanadhaminiwa na Mbunge huyo wa Arumeru Mashariki na hili ni kundi la kwanza linalounganisha vijana zaidi ya 105.
Mbunge wa Jimboni la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassari akizungumza na Vijana hao wa Bodaboda wakati alipokuwa akitoa mafunzo ya namna wanavyotakiwa kuwa katika uendeshaji wa vyombo hivyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...