Mwakilishi Maalum wa Katibu wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo,Bw. Rogers Meece akitoaa taarifa mbele ya Baraza Kuu la Usalama ambapo alionya kwamba hali ni tete na ya hatari nchini DRC kiasi cha kuwapo uwezekano mkubwa wa kuibuka machafuko wakati wowote. Akalitaka Baraza hilo kuridhia upelekeji wa Brigedi mpya ili pamoja na masuala mengine ikasaidie kuimarisha hali ya ulinzi na usalama. Aidha amelisihi pia Baraza Kuu kuridhia matumizi ya nguvu katika harakati hizo za kutatufa amani ya kudumu nchini DRC.
Home
Unlabelled
Umoja wa Mataifa wasema Hali Ni Tete Na Ya Hatari Jamhuri Ya Kidemokrasia Ya Kongo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...