Mhe. Membe akimsikiliza Mhe. Willsch wakati wa mazungumzo yao. |
Mhe. Membe akifurahia Medali Maalum aliyokabidhiwa na Mhe. Willsch kama ishara ya kutambua ushirikiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Ujerumani. |
Mhe. Membe akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe huo. |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...