Jengo la World Garden maeneo ya Mushoni jijini Arusha
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe Magesa Mulugo akiwasili eneo la jengo la World Garden ili jengo hilo ambalo lina kumbi za mikutano pamoja na
ukumbi mkubwa wa Disco ambapo inadaiwa kwa uapande wa Afrika mashariki na kati
hamna jengo kama hilo
Kwa ubavuni
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Magesa Mullongo akizindua rasmi ukumbi huo wa disco uliopo Mushono ndani ya jiji la Arusha
Ukumbi wa disko unaosemekana ni mkubwa kuliko yote Afrika Mashariki na kati. Picha na Woinde Shizza wa Globu ya Jamii, Arusha
kweli ni mkubwa sana na waangalie hizo ngazi watuwekee mazuria ili tukilewa tusije kuvunja ugoko kwa hivo vigae
ReplyDeleteMtu akisha titika masanga ya moto, na macho yake yakaanza kuwa na makengeza,anaona "double double" miguu inakuwa kama vile mlenda,pumzi inakuwa nzito na mdomo kumwagika, basi hizo ngazi hataziona, matokeo yake ni kuvunjika MUUNDI.
ReplyDelete