Familia ya hayati Browne Charles Nindi na Fatma
Nindi ya jijini Tanga,wanapenda kutoa shukrani zao dhati kwa wale wote
walioshiriki pamoja nasi katika kumuuguza mpaka kumpumzisha
mpendwa wetu Charles Browne Nindi.
Charles alifariki Nov 6 2012 na
kupumzishwa katika nyumba yake ya milele Nov 10 2012.
Shukrani za pekee ziende kwa marafiki,
majirani na madaktari wa hospitali ya Bombo jijini Tanga.Tunasema ASANTENI sana
kwa faraja mliyotupa.
Kutakuwa na misa ya shukrani itakayofanyika
Jumamosi tarehe 23 Februari 2013
katika kanisa la Anglican Kawe, Dar es Salaam Tanzania saa 3(tatu) asubuhi na kufuatiwa na chakula
cha pamoja saa 7 mchana nyumbani kwa
James Nindi.(0714 686 686)
Wote mnakaribishwa
Wote mnakaribishwa
BWANA ALITOA,
BWANA AMETWAA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE, AMEN
Poleni wafiwa. Wajuzi nijibuni,hivi neno hayati linatumika vipi?
ReplyDelete