Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa amekabidhi pikipiki nne za miguu mitatu maarufu kama Bajaji ambazo ni maalum kwa kubebea mizigo zenye thamani ya kiasi cha shilingi millioni 50,kwa umoja wa vijana wilaya ya Monduli ili kuwasaidia vijana waliokuwa wakikakabiliwa na tatizo la Ajira.Pichani ni Mh. Lowassa akikabidhi funguo za pikipiki hizo kwa mmoja wa viongozi wa matawi ya vijana wilayani hapo,ambao walifika nyumbani kwake Ngarash Monduli kwa ajili ya kupokea pikipiki hizo.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Ina Maana pikipiki moja inauzwa TZS 12.5m

    ReplyDelete
  2. Mi nauliza hv,
    Pikipiki 4 million 50 ina maana moja ni Mill 12.5?
    Jamani tuoneeni huruma na sisi maana tunazidiwa na sisi!

    ReplyDelete
  3. Honda au Hondaa? anyway haina noma

    ReplyDelete
  4. Hayo masifuri Mjomba Michuzi ni typing errors zako ama ndiyo Figure kamili?

    Tsh.50,000,000/= kwa PIKIPIKI GUTA 4 ?

    ReplyDelete
  5. Kwa bei hiyo si afadhali Mhe. EL anipatie hiyo Tsh.12.5 nikanunue Punda 4 (kwa Tsh.2 Mil) na akiba inayobaki niweke Benki?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...