Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo Chadema Freeman Mbowe akiwa anaongea na viongozi wa chama kutoka katika mikoa ya kanda ya kaskazini ambayo ni arusha ,kilimanjaro ,manyara pamoja na tanga kuhusiana na sera ya majimbo leo jijini Arusha
 Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema Freeman Mbowe akiwasili katika ukumbi wa bugaloo kwa ajili ya kuongea na viongozi wa vyama mbambali kwa jili ya kupanga mkakati wa chama chao
 mwenyekiti wa  muda wa  chama cha demokrasia na maendeleo Chadema kanda ya kaskazini ambaye pia ni mbunge wa karatu akiwakaribisha viongozi mbalimbali wa kanda ya kaskazini katika kikao cha viongozi wa chama hicho kanda  kikao ambacho kinajadili seraya majimbo
 picha juu na chini wajumbe ambao ni viongozi walioudhuria mkutano huo


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. jameni mikutano mikutano mikutano watu wanafanya kazi saa ngapi nyie zenu zishaingia kwa kupiga tararira na kudanganya watu wapeni hajira basi na elimu agrrrr.

    ReplyDelete
  2. Mngekuwa mnatumia muda mwingi kwa Semina na Unezi wa Kukuza uwezo na Ustaarabu wa jinsi ya kuendesha harakati za Siasa !

    Ni bahati mbaya sana Vikao kama hivi badala ya kujenga uwezo huo wa Kisiasa vinatumika sana muda mwingi kuwapa mwamko wa jazba na vurugu za Kisiasa.

    Hivi kweli tutafika?

    ReplyDelete
  3. Jamni ninaweza angalau kushawishika na Itikadi ya chdm lakini kwa suala la Magwandazzz mwilini mwangu?

    Ohhh kwa hapo Sitakikubali chama hiki!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...