Mwenyekiti wa Cuf Taifa, Profesa Ibrahim Lipumba akihutubia wananchama na wafuasi wa chama hicho katika mkutano wa hadhala uliopewa jina la mchakamchaka mpaka 2015 ambao ulifanyika kwenye uwanja wa shule ya msingi Kiwanja cha Ndege Manispaa ya Morogoro.
Katibu mkuu wa Cuf, Maalim Seif Hamad akihutubia wananchama na wafuasi wa chama hicho katika mkutano wa hadhala wa mchakamchaka mpaka 2015 uliofanyika kwenye uwanja wa shule ya msingi Kiwanja cha Ndege Manispaa ya Morogoro.
Wafuasi na wanachama wa Cuf wakiwa wamekunja ngumi juu wakati viongozi wakuu wa chama hicho wakihutubia maelefu ya wakazi wa Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. mmmh sasa sijui tunapelekwa wapi kila kukicha mikutano tuuuuuu tizameni muda wa kazi na hao wasio na kazi ndio husababisha vurugu sababu hudanganywa kwenye hii mikutano isiyo na kichwa wala miguu ya kilakukicha utasikia chadema cuf ccm nk.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...