Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kufunga zoezi la kuchukua na kurudisha fomu za kuomba ruzuku ya Safari Lager Wezeshwa Dar es Salaam jana.Kulia ni Jaji Mkuu wa Programu hiyo, Joseph Migunda.
Jaji Mkuu wa Programu ya Safari Lager Wezeshwa, Joseph Migunda (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kufunga zoezi la kuchukua na kurudisha fomu za kuomba ruzuku ya Safari Lager Wezeshwa Dar es Salaam jana.Kushoto ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...