Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Aggrey Mwanri akihutubia hafla ya uzinduzi wa mfumo mpya wa menejimenti ya taarifa za bima kwa ajili ya Mfuko wa Afya ya Jamii ulioboreshwa (CHF Iliyoboreshwa) mjini Dodoma mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Meneja wa Mradi wa HSPP Madfred Stroemer watekelezaji wa mfumo huo mpya kwa ufadhili mkuu wa Serikali ya Uswisi na Vodacom(katika mawasiliano).
  Naibu Waziri Mwanri akipokea kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi kadi ya uanachama wa mfuko wa Afya ya Jamii Ulioboreshwa - CHF muda mfupi baada ya kuzindua mfumo mpya wa nmenejimenti ya taarifa za bima kwa ajili ya mfuko huo utakaowezesha uandikishaji, ukusanyaji  na uwasilihaji madai ya malipo kwa wato huduma na ufuatiliaji wa taarifa za wanachama kwa njia rahisi ya kielekrtoniki kutumia mtandao wa Vodacom mjini Dodoma mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...