Mfuko
wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) umekamilisha awamu ya kwanza ya ujenzi
wa nyumba 641 katika mikoa mitano ambazo zilianza kuuzwa tangu Novemba mwaka
2012. Mradi huo unalenga kutatua tatizo la makazi kwa wanachama wake na jamii
kwa ujumla.
Mikoa
iliyojengwa nyumba hizo na idadi ya nyumba katika mabano ni Dar es salaam –
Buyuni (491), Morogoro – Lukobe (25), Shinyanga – Ibadakuli (50), Tabora –
Usule (25) na Mkoa wa Mtwara – Mang’amba (50).
Aidha
kwa Muji wa maelezo ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Bwana Adam Mayingu
amewaambia wanaadishi wa habari na viongozi mbalimbali waliotembelea eneo la
mradi huo Mkoawa Dar es Salaam kuwa Shirika lake limejenga nyumba za aina nne
ambazo ni za nyumba viwili, Vyumba vitatu, Nyumba za vyumba vitatu kimoja ikiwa
ni Master na Nyumba ya vymba vine kimoja kikiwa ni Master.
Gharama
ya ununuzu wa nyumba hizo ambazo zinauzwa kwa wanachama wa Mfuko huo ni kati ya
Shilingi Milioni 64 hadi milioni 94 gharama zikijumlishwa na Kodi ya ongezeko
la Thamani.
Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) Adam Mayingu
(katikati) akiwaonesha maofisa wa Jeshi la Polisi moja ya nyumba 491 zilizopo
katika mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu ambazo zitkopeshwa kwa
wanachgama wa mfuko huo. Nyumba hizo zipo katika eneo la Kigezi Kata ya Majohe
wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.
Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) Adam Mayingu
(kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa
ziara hiyo ya kuakagua makazi hayo. Kulia ni Naibu Meya wa Manispaa ya
Ilala, Hery Mohamed Kessy Nyumba hizo zipo katika eneo la Kigezi Kata ya Majohe
wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.
Wadau mbalimbali wakitembelea nyumba hizo hii leo.
Ziara ikiendelea katika nyumba hizo zipatazo 491
hizi nyumba mbona hazina nondo au washaongea na wezi?
ReplyDeletemdau.
india
Mdau India,
ReplyDeleteAsante sana. Mimi pia kitu cha kwanza nilichokiona ni hayo madirisha ya vioo yasiyo na nondo wala nyavu za mbu na mlango wa mbele usio na grill halafu juu una kioo. Hii architectural siyo ya Kibongo kabisaaaaa. Magumashi matupu.
Mdau wa India, hilo dirisha ni maarufu kwa jina la Almunium na kioo chake ni aina ya one way (kwa lugha zetu za mtaani)ambacho mtu akiwa nje haoni ndani ila wa ndani anakuona. Hivyo ni vigumu kusema hakuna nondo wakati kioo chenyewe hakikurusu kuona ndani.
ReplyDeletekioo kutokuruhusu kuona ndani haina maana kuwa Wataalamu hawata nusa. jamaa wananusa kuliko majibwa ya polisi. Ukwei unabaki pale pale nondo ni muhimu sana kwa huku kwetu na kama mdau wa India alivyosema hawa jamaa labda wameshaongea na wezi na wamepewa uthibitisho kuwa hawapitia maeneo.
ReplyDeleteMdau Mbande
Million 94 kwa nyumba hao wafanyakazi wanaruhusiwa kukatwa kidogo kidogo au ni malipo cash hapo hapo. Bei ni kubwa sana kwa mshahara wa mlala hoi kama mimi!
ReplyDeleteyaani hizi nyumba zimekaa kama choo ndio nitoe milioni 94 kununa??? huu ni utani sasa.smh!
ReplyDeleteHili ni jipu . Watanzania hatuna huruma hata chembe
ReplyDelete