Meneja wa huduma za ziada wa Vodacom Tanzania,Bw.Benjamin Michael(katikati)pamoja na Meneja wa Mahusiano wa kampuni hiyo,Bw. Matina Nkurlu, wakimpigia mmoja wa washindi wa promosheni ya Mahela aliejishindia shilingi Milioni moja, kushoto ni ofisa wa Bodi ya Kubahatisha nchini Bw.Humudi Hussein, bado shilingi Milioni 251 zinaendelea kushindaniwa katika promosheni hiyo.
Ofisa wa Bodi ya Kubahatisha nchini Bw.Humudi Hussein kushoto akiandika jina la mmoja wa washindi waliojinyakulia shilingi milioni mojamoja kati ya washindi tisa kupitia promosheni ya MAHELA inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,katikati ni Meneja wa huduma za ziada wa Vodacom Tanzania,Bw.Benjamin Michael,pamoja na Meneja wa Mahusiano wa kampuni hiyo,Bw. Matina Nkurlu.
Meneja wa Mahusiano wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu(kulia)akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)juu ya Promosheni ya MAHELA wakati wa kuchezesha droo ya kuwapata washindi wa shilingi milioni moja moja ambapo washindi tisa walipatikana hivi leo,kupitia promosheni hiyo,wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Ofisa wa Bodi ya Kubahatisha nchini Bw.Humudi Hussein na Meneja wa huduma za ziada wa Vodacom Tanzania,Bw.Benjamin Michael.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. voda com mnatuzingua....unajibu maswli weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeempaka unakoma..lakini huoni kitu gani kinaendelea

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...