Jumapili tarehe 17 Machi, 2013 wanamichezo toka vilabu vya Namanga, Mwananyamala, Kunduchi Kwanza na wenyeji wao Biafra walifanya mazoezi ya pamoja  ya mbio za pole pole na baadae walimpongeza mwanachama wa Biafra kwa kujifungua mtoto wa kiume takriban miezi miwili iliyopita. Fuatilia matukio kwa picha. 
Katibu wa mwananyamala Jogging akiwasalimia wanamichezo

Baadhi wa wana-Mwananyamala Jogging
Makamu M/kiti wa Biafra Jaqueline Barozi (kulia) akiwa na mjumbe mteule wa kamati ya Uchumi na Mipango ya klabu ya Biafra Ayoub Layson wakifuatilia matukio

Mwenyekiti wa Biafra Abdul mollel (aliyesimama) akiwasalimia wadau



Katibu wa Biafra Yahya Poli akimpongea Bi. Miriam Jospeh kwa kupata mtoto wa kiume
Miriam Joseph akiwasalimu na kuwashukuru wanamichezo waliojitokeza na kumpongeza
Viongozi wa Kunduchi Kwanza Kaka Jffari na Shekhan Khamis

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. hawa jamaa huwa wananifurahisha sana. wakitoka mazoezini wanakutana kwenye baa na kunywa bia na supu! sasa hapo si ndio mtu unazidi kuwa mnene na kitambi zaidi? sababu ile jogging inakupa appetite ya kula na kunywa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...