Umati wa maelfu ya waumini wa madhehebu ya Kikatoliki wamekusanyika katika uwanja wa St.Peter's Square huko Rome wakishangilia baada ya kuona moshi mweupe ukifuka juu kuonyesha ishara ya kuwa Makadinali wamemchagua Papa mpya. Dakika chache baadaye akajitokeza.
Katika wadhifa huo atajulikana kama Papa Francis.
Yeye ni Papa wa kwanza kutoka Amerika ya Kusini.
Katika wadhifa huo atajulikana kama Papa Francis.
Yeye ni Papa wa kwanza kutoka Amerika ya Kusini.
Ee Mungu Asante sana kwa kutupatia Papa mpya. Kwa imani yetu Wakatoliki tunaamini kupitia wanadamu ni Mungu amemteua na si Makadinali waliochagua. wao walikuwa wawakilishi tu. Tumwombee aweze kuongoza kanisa kwa Upendo uliotukuka nakutuelekeza yale anayoshirikishwa na Mungu hasa kwa kipindi hiki cha imani. shime wakristu tudumishe Amani na Upendo daima.Mungu ni mwema wakati wote.Amina
ReplyDeleteamina,mdau wa 1
ReplyDelete