Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Wananchi na Wakulima wa Bonde la Muembe Mpunga,Upenja Wilaya ya Kaskazini B Unguja, alipofika kuona athari za kilimo hicho akiwa katika ziara ya Mkoa wa kaskazini Unguja jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi mbali mbali alipowasili katika Bonde la Muembe Mpunga,alipotembelea kuona athari za kilimo hicho akiwa katika ziara ya Mkoa wa kaskazini Unguja jana.
Mkulima wa Kilimo cha Mpunga Miza Mohammed Mcha,akipia pump katika kisima cha Bonde la Mwembe Mpunga,kufuatia agizo la Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,kuhakikisha kupatikanwa kwa Maji katika kisima hicho,alipofanya ziara ya kuangalia athari kilimo cha mpunga mkoa wa kaskazini Unguja jana,(kushoto) Afisa Kilimo Mkoa wa Kaskazini Silima Hassan.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Afisa wa Utafiti wa Wizara ya kilimo Khatib Juma Khatib,alipofika katika Bonde la Muembe Mpunga, kuona athari za kilimo hicho akiwa katika ziara ya Mkoa wa kaskazini Unguja jana.
Wanafunzi wa Skuli ya msingi Matetema Wilaya ya kaskazini B,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na Wananchi na wanafunzi hao baada ya kuifungua Skuli ya Sekondari ya matetema jana alipokuwa katika ziara ya Mkoa wa kaskazini Unguja, [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...