Wanamuziki wa Bendi ya FM Academia Wazee wa Ngwasuma,chini ya Uongozi wake Prezidaa Nyoshi El Sadat (katikati) wakionyesha umahiri wao wa kuyarudi magoma wakati wa Onyesho lao la kutambulisha nyimbo zao mpya,lililofanyika usiku huu kwenye Kiota cha East 24,Mikocheni jijini Dar es Salaam.FM Academia wameangusha show babkubwa kwa wapenzi na Mashabiki wao walifika kwenye kiota hicho.Onyesho hili limedhaminiwa na Kampuni ya Mabibo kupitia bia yake ya Windhoek.
 Kiongozi wa Bendi ya FM Academia,Prezidaa Nyoshi El Sadat (kati) akiimba sambamba na wenzake wakati wa onyesho hilo.
 Madansa wa FM Academia wakionyesha manjonjo yao.
Rapa wa FM Academia,Kalala Junior akiwajibika.
Kila kazi na Manjonjo yake,hapa ni Mpiga tumba wa FM Academia akiruka juu huku akiendelea kujipiga ngoma,

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...