Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, alipokuwa akizungumza na wananchi na masheha wa Wilaya Magharibi,wakati wa sherehe ya Uzinduzi wa Mradi wa usajili wa ardhi (Smole) uliofadhiliwa na serikali ya watu wa Finland,katika viwanja vya Victoria Garden Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akipokea zawadi ya picha za visiwa vya unguja na pemba a kuchora kutoka kwa Balozi wa Finland Chini Tanzania Bibi Sinikka Antilia,wakati wa sherehe ya Uzinduzi wa Mradi wa usajili wa ardhi (Smole) uliofadhiliwa na serikali ya watu wa Finland,katika viwanja vya Victoria Garden Mjini Zanzibar leo,Waziriri wa Ardhi,Maji,Makaazi na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban,(kushoto) na Katibu Mkuu Ali Halil Mirza.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akimkabidhi zawadi ya mlango wa Zanzibar Balozi wa Finland Chini Tanzania Bibi Sinikka Antilia,wakati wa sherehe ya Uzinduzi wa Mradi wa usajili wa ardhi (Smole) uliofadhiliwa na serikali ya watu wa Finland,katika viwanja vya Victoria Garden Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) akimkabidhi hati ya Ardhi Marium khaidar Mohamed, wa Mji Mkongwe,wakati wa sherehe ya Uzinduzi wa usajili wa adrhi uliofanyika leo katika viwanja vya Victoria Garden Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia)akimkabidhi hati ya Ardhi Abdulhamid Ismail wa Mji Mkongwe,wakati wa sherehe ya Uzinduzi wa usajili wa adrhi uliofanyika leo katika viwanja vya Victoria Garden Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) na akizindua Mradi wa Usajili wa Ardhi, katika viiwanja vya Victoria garden ,Mjini Zanzibar leo,(smole)uliofadhiliwa na Serikali ya watu wa Finland,(kulia) balozi wa Finland Sinikka Antilia,na (kutoka Kushoto) katibu Mkuu na Waziri wa Ardhi,Maji,Makaazi na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban,na Mrajis wa Ardhi Mwanamkaa A.Mohamed,(wa katikati).
Baadhi ya masheha wa Wilaya Magharibi,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na wananchi na masheha hao katika sherehe ya Uzinduzi wa Mradi wa usajili wa ardhi (Smole) uliofadhiliwa na serikali ya watu wa Finland,katika viwanja vya Victoria Garden Mjini Zanzibar leo .(Picha na Ramadhan Othman,lkulu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. ANCO MICH KWANINI WAMEJIITA MASHEHA?SHEHA INATUMIKA KWA WANAWAKE WANAUME NI MASHEH.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...