Azam FC leo jioni majira ya saa 10 kamili za hapa Liberia ambayo ni sawa na saa 1 kamili usiku za Tanzania, itateremka dimbani katika kiwanja cha ATS hapa Monrovia kupambana na BYC II ya hapa. Kocha Mkuu wa Azam ametangaza kikosi kitachoshuka dimbani leo.
1.Mwadini Ali
2.Himidi Mao
3.Waziri Salum
4.David Mwantika
5.Jockins Atudo
6.Michael Bolou
7.Kipre Tchetche
8.Ibrahim Mwaipopo
9.John Bocco
10.Humphrey Mieno
11.Mcha Khamisi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...