Jana tarehe 10 Machi, 2013 wanamichezo kutoka Kawe Beach, Kawe Social & Sports Club, Msasani Jogging & Sports Club, Naamanga Sports Club, Biafra Sports Club pamoja na wenyeji Kunduchi Kwanza walikusanyika pamoja na kufanya mazoezi ya mbio za pole pole (jogging) ambazo ziliwakutanisha zaidi ya wanamichezo 100 pamoja na wadau wengine. Mbio hizo zilianzia Makao Makuu ya klabu ya Kunduchi Kwanza Malanja kupitia mbuyuni, Afrikana, kipita shoto (round about) cha Kawe na kisha kurudia njia hiyo hiyo hadi Malanja. 
Kundi la Msasani  

Kundi la mwisho

Michael Juma aka Mopao (mwenye bukta nyeusi mbele) akiongoza Earobics.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...