Hapa ni Posta mpya ambapo leo kulikuwa hakupitiki kutokana na mvua babkubwa iliyonyesha kwa takribani nusu siku.
Barabara ya Ohio street nako mambo yalikuwa kama hivi.
Wengine walilazikika kushika Moka mkoani ili zisilowe.hapa ni Mwenge jijini Dar.
Mkoko wa kina nanihii ukipigwa kibega baada ya kubuma.
Hayaa moja.....mbili.... tatu.... twendeeeeee...
Ilinasa sasa imetoka.
kwa jiji la dar ni sawa tu, mifuniko ya mashimo ya kupitisha maji tumekwiba, na hayo mashimo yenyewe sasa ndo tunatupia takataka... tumlaumu nani?
ReplyDeleteKwa nini hali ni hii hii mwaka nenda mwaka rudi? Hadi Rais wa China atusaidie?
ReplyDeletePolisi atawalipa vipi waliozukuma gari lake?
ReplyDeleteNaona mvua imewaletea shida hapo Dar jana, sisi huku Ukerewe tuna shida tofauti. Nilekuletea picha kwa email
ReplyDeleteIbrahim
haha vikwangua anga zinazidi kuongezeka jijini dar
ReplyDeletenimeamini tanzania tunapiga hatua kubwa kimaendeleo sasa MASWIMING POOL MPAKA BARABARANI HATA HUKU UGHAIBUNI HAMNA.
lol..
DeleteSumatra mmeona hiyo?
ReplyDeleteNadhani ni wakati sasa Leseni za Usafiri Jijini Dari Salama ziwe ni mara mbili yaani (double) kila Leseni ya Usajili wa gari pamoja na Usajili wa Boti pia kuweka mapanga boi (feni) uvunguni mwa magari tayari kwa misimu ya mvua!
Ile mvua inamwagika maji kila kona mafuriko Jijini, mmiliki wa gari anashusha chini Mapanga boi (Fan) na gari inageuka chombo cha kwenye maji na kuwa Boti!!!
Bongo Daslama Tambarale!