MRAJIS WA ARDHI ZANZIBAR,MWANAMKAA ABDULRAHMAN AKITOA MAFUNZO KWA MASHEHA WA MAENEO TEULE YA MANISPAA YA MJI WA ZANZIBAR KUHUSIANA NA USAJILI WA ARDHI KWA WANANCHI WANAOMILIKI VIPANDE VYA ARDHI KWA KUJENGA NYUMBA ZAO.WENGINE NI BAADHI YA MASHEHA WAKICHANGIA KATIKA MAFUNZO HAYO.MAFUNZO HAYO YALIFANYIKA UKUMBI WA MALARIA MWANAKWEREKWE ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hivi NI kweli mbongo haruhusiwi kumiliki ardhi znz mpaka akae miaka 10 ndani ya znz?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...