Home
Unlabelled
mazishi ya mama yake ephraim mafuru leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Rip mom! Mungu amekupenda zaidi
ReplyDeleteNdg yangu Ephraim MAFURU.
ReplyDeleteMoyo wangu umeugua sana baada ya kupata taarifa hizi za huzuni kwa kufiwa na mama yetu mpendwa.
Mama alitupenda sote na alikua kisima kirefu kilicho jaa HEKIMA nyingi na hakika UPENDO wake wa MAMA ulitutosheleza wanawe na jamii yote. Ukweli Kaka MAFURU MUNGU(S.A.W) amempenda zaidi.
Familia yangu, Wana CCM UK na mimi pia tunakuombea amani hasa wakati huu wa majonzi kwako na familia yako.
Njia aliyopita MAMA ni ya amani na utulivu. Hakika tutamwona tena siku Bwana atakapo HITIMISHA kadhia ya malimwengu haya.
Bwana amemtwaa mtumishi wake.
MAINA ANG'IELA OWINO
UK
ReplyDeletePole sana bro.
Janeth Mselemu