MWENYEZI MUNGU AKIKUACHA KATIKA HALI
FULANI.... MSHUKURU TU!
Mwenyezi Mungu akikuacha katika hali fulani, basi mshukuru tu wala usilalamike!
Kwani yeye ndiye akujuae zaidi.
Pia usidhani kama maisha yamekamilika kwa mtu yoyote; kuna mwenye nyumba lakini hana gari.....kuna mwenye gari lakini hana watoto.....kuna mwenye watoto lakini hana pesa.....kuna mwenye pesa lakini hana afya.....kuna mwenye afya lakini hana kazi....kuna mwenye vyote lakini hana Amani wala Furaha...
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...