Mbunge wa Jimbo la Magomeni Muhamad Amour Chombo akitoa nasaha kwa wanafunzi,na pia kuwapongeza kwa kufaulu kwao kabla ya kuwazawadia sare za Skuli kwa kila mwanafunzi,huko katika Skuli ya Sekondari ya Nyerere Mjini Unguja.
Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Salmin Awadh Salmin akimkadhi sare ya Skuli mwanafunzi Shida Muh'd Abdalla aliefaulu kuingia Darasa la 11 katika Skuli ya Sekondari ya Nyerere Mjini Unguja.(Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.)
Mbunge wa Jimbo la Nyerere Muhamad Amour Chombo akimkadhi sare ya Skuli mwanafunzi Abdilan Mzee aliefaulu kuingia Darasa la 11 katika Skuli ya Sekondari ya Nyerere Mjini Unguja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...