Mchezaji wa Timu ya Netball ya Ikulu ya Dar es Salaam Haika Masoud (kulia) akimzuia Beshuu Abdalla wa Ikulu ya Zanzibar wakati wa mchezo wa Kirafiki katika michezo ya Sherehe za Pasaka katika viwanja vya Amani Nje. Ikulu ya zanzibar iliifunga Ikulu ya Dar es Salaam kwa vikapu 26-14
Mchezaji wa Timu ya Ikulu ya Zanzibar Mpira wa miguu Ali Mwinyi (kulia) akijaribu kumcheza Shaaban Kasanga wa Timu ya Ikulu Dar es Salaam,katika mchezo wa Kirafiki katika kusherehekea wiki ya Pasaka  leo katika Uwanja wa Amaan Studium. Ikulu Zanzibar ilitoka kifua mbele kwa mabao 4-2. Picha na Ramadhan Othman wa Ikulu, Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Zanzibar kumekucha nilitegemea alovaa nyekundu kuwa anatoka Dar weyyeee

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...