HABARI ZILIZOTUFIKIA ASUHII HII NI KWAMBA MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA SIMU NCHINI ADOLAR BARNABAS MAPUNDA AMEFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO KATIKA HOSPITALI YA HINDU MANDAL JIJINI DAR ES SALAAM ALIKOKUWA AMELAZWA. MIPANGO YA MAZISHI INAFANYIKA NYUMBANI KWAKE TEGETA. 


MAREHEMU MAPUNDA ALIWAHI PIA KUWA MWENYEKITI WA BODI KADHAA NCHINI IKIWEMO YA WADHAMINI YA MUHIMBILI NA TANZANIA STANDARD NEWSPAPERS, WACHAPISHAJI WA MAGAZETI YA SERIKALI YA DAILY NEWS, SUNDAY NEWS NA HABARI LEO. MOLA AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI- AMINA

TUTAENDELEA KUWAFAHAMISHA MAENDELEO YA MSIBA KILA TUTAPOPWEWA TAARIFA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. I have had the honor to know him few months ago, He was very knowledgeable and useful on telecommunication and information technology, This sad news that He is gone has left me with no much energy. R.I.P Mr A.B Mapunda, as we celebrate this Good Friday remembering the death of the Lord Jesus Christ, we will along celebrating the peace of your soul.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...