Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kilwa, Adolph Mapunda akifungua mafunzo ya akina mama wajasiriamali wilayani Kilwa yaliyoandaliwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Raphael Mwamoto akitoa maelezo ya utangulizi kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu.
Mkurugenzi wa kitengo cha Uwezeshaji Wanawake katika Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Tabu Likoko akieleza jambo kwa washiriki wa mafunzo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...