Uzinduzi wa mradi “INVOLVE” kwa ajili ya kuimarisha ushiriki wa wakulima wadogo kwenye mijadala ya ki-sera na ufuatiliaji ili kuboresha uhakika wa chakula Afrika Mashariki. Uzinduzi huo umefanywa na Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya Afrika Mashariki Bw. Uledi Mussa na Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania Bw. Gianluca Azzoni Mradi wa “INVOLVE” unafadhiliwa na Umoja wa Ulaya, Oxfam na Brot, na utekelezwa na Mtandao wa wakulima wadogowadogo katika nchini za mashariki na kusini mwa Afrika (ESAFF), Asasi ya GRET ya Ufaransa na Muungano wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (MVIWATA)
 Uzinduzi rasmi ambao umefanywa na Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya afrika Mashariki Bw. Uledi Mussa na Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania Bw. Gianluca Azzoni
 Mwanamuziki mkongwe Mzee kassimu Mapili wa Mjomba Band akitumbuiza katika uzinduzi huo leo
 . Mratibu wa Mtandao wa wakulima wadogowadogo katika nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika (ESAFF) Bw. Joseph Mzinga akieleza juu ya mradiwa INVOLVE”
Wajumbe waliohudhuria uzinduzi wa mradi wa “INVOLVE” wakiwa katika picha ya pamoja

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kassim tafuta msikiti mlipo sasa, muziki wa dunia hakufai tena!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...