Picture
Mwanamuziki wa siku nyingi Kabeya Badu (pichani), ambaye alikuwa anaimba katika bendi za Wazee Sugu amefariki dunia leo asubuhi katika hospitali ya Tafia ya Muhimbili jijini Dar es salaam.


Marehemu alikuwa akisumbuliwa na figo ambazo zilishindwa kufanya kaiz.



Wakati wa uhai wake, Kabyea aliwahi kufanya kazi na bendi nyingi zikiwemo za Orchestra Fauvetter, Orchestra Safari Sound, Marquis, Intimate Rhumba, Tancut Almasi na Wazee Sugu



Mola ampumzishe Mahala pema Peponi - Amina

Taarifa hii ni kwa mujibu wa mwanamuziki, John Kitime.

Video chini ikimuonesha marehemu Kabeya Badu (kushoto) enzi za uhai wake akiwa na Wazee Sugu ukumbi wa La Prima jijini Dar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. MZEE KABEYA BADU R.I.P
    /Madau Vumbi Dekula

    ReplyDelete
  2. Namkumbuka na wimbo wake ZIADA alipokuwa na OSS, Mungu amlaze mahala pema Kabeya Badu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...