Mratibu wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF),Rehani Athumani akizungumza katika semina vikundi vya akina mama wa Majohe (UVIMA) vilivyopo chini ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) inayosimamiwa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete hiyo iliyofanyika Majehe leo.
  Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Eugen Mikongoti akizungumza na washiriki wa semina hiyo iliyofanyika Majohe Pugu jijini Dar es salaam leo
 Philomena  Marijani Meneja Uragibishi kutoka WAMA akizungumza katika semina hiyo.
 Afisa wa Masoko na Elimu kwa Umma NHIF Grace Michael akitoa maelezo kabla ya kuanza kwa semina hiyo leo.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...