Kwa Mamlaka aliyopewa Spika na kanuni ya 113 ya Kanuni za kudumu za Bunge Toleo la 2007, uteuzi wa wajumbe wa kamati kwa kipindi kilichobaki cha uhai wa Bunge hili sasa umekamilika kama ilivyo kwenye orodha.

Madhumuni ya kuwapanga upya waheshimiwa Wabunge kwenye kamati mbalimbali ni kuwapatia fursa wabunge kadri inavyowezekana kujipatia ujuziu na uzoefu wa shughuli za Kamati tofauti na pia kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa na kanuni za 113 (5)

Uteuzi huu unaanza leo tarehe 14 Machi, 2013, na kesho saa sita mchana tarehe 15 Machi, 2003 ni uchaguzi wa Wenyeviti wa kamati hizo katika kumbi mbalimbali zinavyoonyesha .

Imetolewa na Idara ya Habari, Elimu kwa Umma na Uhusiano wa Kimataifa
Ofisi ya Bunge 
DAR ES SALAAM
14 MACHI, 2013

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...