Meneja Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Bi.Rukia Mtingwa (kulia)akichezesha droo ya promosheni ya Mahela unayoendeshwa na kampuni hiyo eneo la Tabata Mawenzi,Zaidi ya shilingi Milioni 240 zinaendelea kushindaniwa .
 Meneja Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa (kulia)akimkabidhi Ramadhani Kibanike mfano wa hundi ya Sh5 milioni nyumbani kweke Tabata Mawenzi mara baada ya kuibuka mshindi   wa promosheni ya Mahela inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Katikati ni mwanaye.
Meneja Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Bi.Rukia Mtingwa, akiongea na waandishi wa habari hivi karibuni alipofika Tabata Mawenzi,kumkabidhi Bw.Ramadhani Kibanike(kushoto) alieibuka mshindi wa shilingi Milioni 5 katika  Promosheni ya”MAHELA”inayoendeshwa na kampuni hiyo,mpaka sasa zaidi ya shilingi Milioni 240 zinaendelea kushindaniwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...