Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. I think we need tow services Tanzania! Yaani tuangalie matukio na mahitaji! Kweli hakuna gari inaweza kuvuta hapa mpaka watu wainame hivi huku suruali zinawadondoka! Sasa ona hiyo ya afande karibia ichanike!

    ReplyDelete
  2. Lakini shida ni kwamba hawajui kuyatumia... huwezi kuniambia land cruiser pick up, with all the gadgets plus the 4wD eti haiwezi kutoka hapo? hiyo sio cruiser ninayoijua mimi! wapelekwe shule. kama wameuza 4wD, then thats another BIG story!

    ReplyDelete
  3. Nyie sukumeni gari la Polisi mkilitoa tu, kwa jinsi walivyo wala rushwa mtawekwa chini ya ulinzi mtafungwa mashati halafu Afande atawapandisha kwenye Land Cruiser hiyo hiyo na kupelekwa kituoni!

    ReplyDelete
  4. Bosss apo juu.Sio kilakitu kupelekana shule! That cruiser is trapped in a sewage tunnel. Mazara ya kuuza na kununua chuma chakavu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...