Chakula kizuri kuliko vyote duniani ni: UPENDO.
Sahani yake nzuri kuliko zote ni: UAMINIFU.
Mchuzi wake nzuri ni; HESHIMA.
Kachumbari yake nzuri ni; AMANI.
Utamu wake ni; KUKUMBUKANA.
- Nami nawakumbuka sana ninyi nyote na kuwatakieni Jumapili njema!
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...