Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akiwanyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) namna ya kupata fomu kwa njia ya mtandao wa www.wezeshwa.co.tz baada ya kusogeza mbele zoezi la kurudisha fomu za program ya Safari Lager Wezeshwa wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Jaji Mkuu wa Programu hiyo, Joseph Migunda.
Home
Unlabelled
SAFARI LAGER YASOGEZA MBELETAREHE YAKURUDISHA FOMU ZA PROGRAMU YA “SAFARI LAGER WEZESHWA”.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...