Rais wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya ISACA Tawi la
Tanzania, Boniface Kanemba akifafanua jambo wakati wa semina kuhusu teknolojia
ya mawasiliano na Utawala Bora vinavyoweza kuchangia maendeleo ya uchumi na
kufanyika jijini Dar es Salaam. Semina hiyo iliandaliwa na ISACA Tanzania kwa
kushirikiana na Taasisi ya Norway Registers Development.
Baadhi ya washiruiki wa Semina hiyo kutoka katika taasisi za Fedha
Rais wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya ISACA tawi la Tanzania, Boniface Kanemba akitoa mada katika semina hiyo.
Washiriki wa semina.
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Norway Registers Development (NRD), Jon Birger F Jalestand amkitoa mada katika semina hiyo.
Rais wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya ISACA tawi la Tanzania, Boniface Kanemba akizungumza na waandishi wa habari kuhusu teknolojia ya mawasiliano na Utawala Bora vinavyoweza kuchangia maendeleo ya uchumi na kufanyika jijini Dar es Salaam. Semina hiyo iliandaliwa na ISACA Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya Norway Registers Development. (NRD). (Picha na Habari Mseto Blog)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...