Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Uwezeshaji na Uwekezaji Dkt Mary Nagu (wa pili kushoto) akikabidhi cheti cha utambuzi cha kiwanda cha simenti cha Tanzania (TPCC) kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Prof. Harald Braun (kulia) katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine katika picha ni Waziri wa Uchumi wa Ujerumani, Ms. Anne Ruth (wa pili kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa TPCC, Bw. Pascal Lessoine (wa tatu kulia) na Kaimu Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Bw. Raymond Mbilinyi (kushoto).
Home
Unlabelled
Serikali kuendelea kuimarisha mazingira ya uwekezaji nchini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...