Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Bw. Geofey Simbeye akisisitiza jambo kwa wanachama wa taasisi hiyo wa kanda ya ziwa katika mkutano maalumu wa uelimishaji na uhamasishaji wa muundo wa uwakilishi katika kongano ( clusters). Kulia ni Mkurugenzi wa Bodi ya TPSF Bw. Gideon Kaunda. Mkutano huo ulifanyika mwishoni mwa wiki jijini Mwanza.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) Bw. Geofey Simbeye akizungumza na wanachama wa taasisi hiyo kutoka kanda ya ziwa katika mkutano maalumu wa uelimishaji na uhamasishaji wa muundo wa uwakilishi katika kongano( clusters) mwishoni mwa wiki jijini Mwanza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...