Nawashukuru sana ndg,jamaa na Marafiki kwa jinsi mlivyojitoa na kumuombea Dua mtoto wangu Mpendwa Nuru Abdulaziz katika kipindi chote toka amezaliwa tr 05 march 2013 na alipoanza kuumwa na kuvimba upande mmoja wa kichwa na kulazwa katika hospital ya Mkoa wa Lindi tr 08 march..Hakika mlinifariji sana na kunitia Moyo...Kwa Mapendo ya Mungu yeye alimpenda zaidi na kuweza kumchukua tr 24 march na kuzikwa siku hiyo hiyo

Kwa Niaba ya Familia yangu nawashukuru sana kwa subira mliyonipa na mnavyozidi kujitokeza kunifariji katika kipindi hiki kigumu..Mungu awape baraka nanyi

Tuko pamoja kwa kila jambo

Ahsante........

Abdulaziz Ahmeid-Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Lindi au maarufu Abdulaziz Video wa Channel ten-Lindi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Inna lillah wa inna illayhi rajiun, Muumba akuongezee subira na akuwezeshe kupata kilichobora zaidi na ufanikiwe kupata jannah pamoja hako katoto kalikotangulia mbele ya haki.

    ReplyDelete
  2. Poleni sana, pole sana kwa mama mzazi. Ni mipango ya mungu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...