Ndugu Wanajumuia,
 
Nina masikitiko makubwa kuwajulisha kwamba kaka mpendwa Mabula Aloys Nyamenda amefariki dunia February 22, 2013 hapo San Diego, California.  Marehemu allikua akisumbuliwa na cancer ya damu (Leukemia); na ameacha mke na mtoto wa miaka 11.
 
Familia ya marehemu inatarajia kusafirisha mwili kwenda Tanzania mnamo March 8, 2013.  Gharama za usafirishaji mwili inakisiwa kuwa $7,200.  Kwa wale wanaoweza, tafadhali weka mchango wako katika account ya benki ifuatayo: Jina la Benki: Bank of America - California.     Jina la Mwenye Account: Paschal Nyawabila     Account Number: 325013556996    Zip Code:  92129 (kwa ajili ya transfer)
 
Ndugu, jamaa, na marafiki watakua pamoja kwa kutoa heshima za mwisho siku ya Ijumaa - March 1, 2013; 12:00 - 2:00 pm katika anuani ifuatayo: 
St. Michael Parish,   15546 Pomerado Rd., Poway, CA 92064
 
Na baadae kuelekea kwenye chakula kwemye anuani ifuatayo: 4688 Convoy Street, San Diego, CA 92111   Namba ya simu: 858-279-6888
 
Misaada ya kihali na kimali inahitajika katika kipindi hichi kigumu.  Naomba tuwaombee wafiwa Mwenyezi Mungu awape subira; na tumuombee marehemu Mabula Aloys Nyamenda aende mahala pema peponi, amin.  Kwa maelezo zaidi, naomba wasiliana na:
Soon Nyamenda (858)-539-9800 (Mke wa Marehemu)    
Henry Nyamenda (858)740-6865 (Kaka wa Marehemu)
Paschal Nyawabila (858)231-0849
Joseph Kisaka (760)212-2000
Felician Nyamenda 011-255-769-069003 (Familia ya Marehemu - Tanzania)
 
Wenu katika majonzi,
Rabia

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...