Wageni waalikwa wakiburudishwa huku wakijimwaya mwaya na muziki safi kabisa kutoka kwa msanii wa kizazi kipya Shaban Katwila a.k.a Q-Chilla, wakati wa hafla ya utoaji wa tuzo za Mwanamakuka zilizofanyika sambamba na sherehe za siku ya Mwanamke Duniani,mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Wageni waalikwa wakijimwaya mwaya.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...