Wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama wamachinga wakiwa kwenye shughuli yao ya kujitafutia rizki katika foleni ya magari Barabara ya Kawawa,jijini Dar es Salaam kama walivyonaswa na Kamera ya Globu ya Jamii.kikweli ukweli jamaa hawa wanasaidia sana kufunguza safari za kwenda kwenye masupa maketi kila siku,maana wanamahitaji ya kila aina yanayopatikana kule.
Korosho za Mtwara hizooo....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Mjaji wa masikini nguvu zake. Sasa wewe ulioko Marekani au UK one wenzio walioko Bongo wanahangaika kutembea masafa ya maili 20 kwa siku kwa hela ya kula. Wakati wewe unalipwa $80 kwa kusha vyombo, tena katika hizo $50 zinabaki benki.

    ReplyDelete
  2. anonymous wa kwanza nakuuliza nini point ya post yako hasa? Nimeshindwa kukufahamu unachosema!!!

    ReplyDelete
  3. sasa wewe mdau wa 03:32pm ndio tukuelewe vipi au huna la kusema?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...