Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. watu bdala kuanza kuokoa licha kuwa hawana vifaa bado wanauliza ushahidi ilikuwaje

    ReplyDelete
  2. jiwe moja moja mkono kwa mkono hivi kweli haya ndio maendeleo tunayoyasikia sisi wa huku ughaibuni kila siku?

    maana kila siku tunasikia tanzania sasa inapiga hatua kubwa kimaendeleo maendeleo yenyewe ndio hayo kukitokea shida watu watumie mikono kuondoa jiwe moja moja ?

    serikali haina hata vifaa vya dharula kutokeapo shida mbali mbali waweze kutoa msaada?

    na hao ffu wanaofika eneo la tukio na mbwa wao wanakusudia nini ? sehemu kumeanguka jengo polisi na mbwa wa nini?

    aibu kubwa sana ankali ukituletea mapicha ya vikwangua anga hali yakuwa vifaa vya uokoaji hakuna

    kila tukio hapo tanzania utasikia likitokea asubuhi basi msaada wa uokoaji utaanza kuonekana mchana au jioni

    inasikitisha sana kuona mpaka leo tupo na style ya mwaka 1800 wakati wenzetu wapo mbali sana

    ewe mola muweza tunakuomba tujaalie viongozi waadilifu wenye kujali maisha ya wanaowaongoza


    tunaomba serikali itoe vibali kwa vyombo vikubwa vya habari kama CNN AL JAZEERA Nk ili habari zetu ziweze kutoka nje ya mipaka ya tanzania

    kwa watani wa jadi hata akichinjwa mtu mmoja utaona habari kwenye cnn na aljazeera leo hii kwetu mabasi yanauwa mamia kila siku na habari hazitoki nje

    ukiona nchi inanyima nafasi kwa vyombo vya habari vya kimataifa kutoa habari zake ujuwe hiyo nchi ina mfumo wa kidikteta wanaogopa kupata aibu au kujulikana wizi wao


    MAOMBI KWA ANKALI MJOMBA AU MWENYE MPINI

    chonde chonde huu ni mwono wangu kama binadamu wengine nipe haki kutumia hii blog kufikisha niliyonayo moyoni

    ReplyDelete
  3. Jengo limesambaratika kama vile limepigwa na bomu. Kuna haja ya kupinguza uchakachuaji wa vifaa vyetu vya ujenzi.

    ReplyDelete
  4. Polen saana waliopoteza jamaa zao na mungu awaponye majeruh
    wote.

    ReplyDelete
  5. Ahsante Mzee michuzo kwa kuweza kurusha habari kikamilifu

    ReplyDelete
  6. Naomba ndugi zangu tujitayarishe na kifo wakati wowote ule kwani killa kilichoko duniani kitatoeka. Kwa hiyo basi tujitayarishe tusidanganyike na mapambo ya dunia tukajisahau.

    ReplyDelete
  7. Mdau wapili, mbwa wanasaidia kugundua mahali kuna miili ya watu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...