Baadhi ya wanakamati ya Bunge ya uchumi na viwanda na biashara ambao walihudhuria washa ya maswala ya lishe uhakiki wa chakula na haki za watoto nchini wakioneshwa jinsi virutubisho vinavyochanganywa kwenye chakula na kusagwa na Meneja raslimali watu wa kiwanda cha Azania Bw.Haji Abdallah,jinsi kinavyojishughulisha na kusindika vyakula kwa afya bora kwa jamii, washa hiyo iliandaliwa na taasisi ya chakula na lishe(TFNC)kwa kushirikiana na taasisi isiyo ya kiserikali ya Helen Keller International(HKI).
Kaimu mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya chakula na lishe Tanzania Bw.Benedict Jeje akichangia mada katka washa ya uongozaji wa virutubishi kwenye vyakula kwa afya bora na jamii,washa hiyo iliandaliwa na taasisi ya chakula na lishe(TFNC)kwa kushirikiana na taasisi isiyo ya kiserikali ya Helen Keller International(HKI).
Mmoja wa wanakamati wa Bunge ya uchumi na viwanda na biashara ambae ni Mwenyekiti wa kamati ya maswala ya ukimwi kwa kikundi cha wabunge maswala ya lishe uhakiki wa chakula na haki za watoto nchini Bi.Lediana Mng'ong'o akitoa mada wakati wa washa ya uongozaji wa virutubishi kwenye vyakula kwa afya bora na jamii,washa hiyo iliandaliwa na taasisi ya chakula na lishe(TFNC)kwa kushirikiana na taasisi isiyo ya kiserikali ya Helen Keller International(HKI)
washiriki wa washa ya maswala ya lishe uhakiki wa chakula na haki za watoto nchini wakiwafafanulia jambo baadhi ya washiriki ambao ni wanakamati wa Bunge ya uchumi na viwanda na biashara washa hiyo iliandaliwa na taasisi ya chakula na lishe(TFNC)kwa kushirikiana na taasisi isiyo ya kiserikali ya Helen Keller International(HKI).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hiyo picha ya pili nilifikiri Jaji Warioba akiwa katika mishe mishe za Tume Ya Kukusanya Maoni ya Katiba.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...