Tabia ya baadhi ya watu kuezua mabati kwenye vibanda vya vituo vya daladala katika maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam imeongezeka kama kibanda hicho cha Kituo cha daladala cha Msimbazi Centre Ilala kinavyoonekana katika picha hii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. wabongo ustaarabu sifuri, hapo mtu ameenda kuwezeka nyumba yake au banda la kuku. next time manispaa ezekeni na manyasi.
    mdau wa majuu kwenye maendeleo.

    ReplyDelete
  2. labda lilikua lina pepea kutaka kukata watu wakona bora walitoe kuepusha balaa maana wahusika hawalitengenezi.

    ReplyDelete
  3. Na hivyo vilivyobaki hapo baada siku chache watang'oa wakauze kwenye chuma chakavu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...