Wanafunzi wa Kozi ya Ukamanda na Unadhimu kutoka Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF) walipotembelea Makao Makuu ya Wizara ya Nishati na Madini Dar es Salaam jana, kwa lengo la kupata maelezo kuhusu vyanzo vya nishati nchini na changamoto zake. Wizara ya Nishati na Madini kupitia Kamishna wa Nishati na Masuala ya Petroli, Mhandisi Hosea Mbise, imesisitiza umuhimu wa ushirikiano baina ya Tanzania na Rwanda katika masuala ya nishati.
Home
Unlabelled
Wanafunzi wa Kozi ya Ukamanda na Unadhimu kutoka Jeshi la Ulinzi la Rwanda watembelea Wizara ya Nishati na Madini jijini Dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...