Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda amepokea kitabu cha muongozo wa kilimo bora wa zao la Embe kutoka kwa wana chama wa kilimo cha Embe Tanzania (AMAGRO).kitabu hicho alikabidhiwa na mwenyekiti wa (magro) Bwana Burton Nsape.shughuli hiyo ya kukakabidhi imefanyika leo ofisini kwa Waziri kuu magogoni Dar es salaam.
Wanachama wa chama cha wakulima wa zao la Embe wakiwa katika mazungumzo na Waziri Mkuu muda mfupi baada ya kumkabidhi kitabu cha muongozo wa kilimo cha zao la Embe.Picha na Chris Mfinanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tafadhali naomba kitabu hichi, kama kipo kwenye website basi tupatie hiyo address, au wapi kinapatikana?

    Nitashukuru sana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...